October 11, 2021


DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba kabla ya mazoezi ambayo yalifanyika wikiendi hii Uwanja wa Boko Veteran alianza kuukagua uwanja huo pamoja na benchi la ufundi la timu hiyo.

 Kwa sasa Simba inafanya maandalizi ya mwisho kuelekea katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 17 Wachezaji ambao wameanza mazoezi ni wale ambao wamebaki kambi ikiwa ni pamoja na Ibrahim Ajibu, Bernard Morrison.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic