Kocha wa Arsenal,
Arsene Wenger amewataka wachezaji wake kuwa na njaa.
Wenger
amewataka wachezaji wake kuwa na njaa kama ile waliyoionyesha katika mechi
dhidi ya Manchester United.
Katika mechi
hiyo, Arsenal waliitandika Man United kwa mabao 3-0 yote yakifungwa mapemaa.
Mabao hayo
matatu ya Arsenal yalifungwa katika dakika 20 za mwanzo tu wa mchezo.
0 COMMENTS:
Post a Comment