June 17, 2017


Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ameongeza mkataba na klabu yake hiyo.

Mkude amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba.

Kiungo huyo mkabaji alikuwa kati ya wachezaji wanaowania na watani wao wa jadi Yanga.


“Ameongeza mkataba wa miaka miwili, ilikuwa ni baada ya kukamilisha majadiliano ambayo yalikuwa yamefikia zaidi ya asilimia 99,” kilieleza chanzo.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic