June 17, 2017



Uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), umepangwa kufanyika Agosti 12, mwaka huu mjini Dodoma. 

Tayari wagombea wameanza kuchukua fomu na wamekuwa wakijitokeza kwa kasi kubwa.

Kinachoshangaza zaidi ni idadi kubwa ya wale wanaowania nafasi ya urais inayoshikiliwa na Jamal Malinzi.

Waliojitokeza ni watatu hadi sasa wakionyesha kwamba wanaitaka nafasi hiyo ili kufanya sahihi zaidi.

Wadau hao wamejitokeza kuchukua fimu hizo kwa kipindi cha siku mbili tu, yaani jana Ijumaa na leo Jumamosi katika ofisi za TTF, Karume jijini Dar es Salaam.

URAIS
Jamal Malinzi
Imani Madega
Wallace Karia
Fredrick Masolwa

MAKAMU RAIS
Mulamu Nghambi
Michael Wambura
Geofrey Nyange

WAJUMBE WA KAMATI YA UTENDAJI

Soloum Chama
Ephraim Majinge
Elias Mwanjala
Saleh Alawi
Kaliro Samson
Vedastus Lufano
Kenneth Pesambili
Mbasha Matutu
Samwel Daniel
Dunstan Mkundi
Athuman Kambi
Shaffi Dauda
Golden Sanga
Charles Mwakambaya
Benista Rugola.
Thabit Kandoro
Goodluck moshi
James Mhagama 
Husen Mwamba
Sarah Chao
Isaa bukuku
Stewat Masima
Emmanuel Ashery
Abdul Sauko
Musa Sima 
Stanslaus Nyongo
Ayoub Nyenzi
John Kadutu
Baraka Mazengo
Khalid Mohamed 
Mohamed Aden
Cyprian Kuyava
Saleh Abdul

IMETOLEWA NA LEO 
Alfred Lucas

Ofisa Habari TFF

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic