Kipa Shabani Kado amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Mtibwa Sugar.
Kado amerejea kuichezea Mtibwa Sugar baada ya kuihama na kwenda Mwadui FC ya Shinyanga.
Bosi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser ameithibitishia SALEHJEMBE kurejea kwa Kado.
"Kweli Kado amerejea na amesaini mkataba wa miaka miwili," alisema.
Bosi wa Mtibwa Sugar, Jamal Bayser ameithibitishia SALEHJEMBE kurejea kwa Kado.
"Kweli Kado amerejea na amesaini mkataba wa miaka miwili," alisema.








0 COMMENTS:
Post a Comment