PAMOJA NA MAJI KUJAA UWANJANI; HIVI NDIVYO SIMBA WALIVYOENDELEA KUJIFUA UWANJA WA AMAAN Kikosi cha Simba kipo mjini Zanzibar na leo wameendelea kujifua licha ya kuwa na maji yaliyotuama katika uwanjani kutokana na mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha. Simba inajiandaa kwa ajili ya mechi yake dhidi ya Yanga keshokutwa Jumamosi.
0 COMMENTS:
Post a Comment