December 17, 2020

8 COMMENTS:

  1. Kwa huu mwenendo Mikia mnataka tuanze Fitna na hapa hamtatuweza no two game mnabebwA after running out of ideas on the pitch marefa wanakuwa men of the mqtches.

    ReplyDelete
  2. Utopolo wameanza kuogopa, yanagonga yanarudi....Presha inapanda inashuka.. Mnyama mawindoni

    ReplyDelete
  3. kwani shida gani utopolo na mwaka juzi mkiwa na Zahera mlikuwa mnaongoza hivyo hivyo. Hadi round ya pili mkaishia kuliangalia kombe likichukuliwa na Simba.Na mwaka jana kama sio Simba kutolewa mapema labda pia mngeongoza ligi hadi kuja achia mwishoni.
    Acheni unafiki je isingekuwa penalti ya dhuruma na kubebwa mechi ya Simba na ile ya kabla ya KMC ambayo pia mlipewa penalti ya dhuruma...Yaani katika timu ambazo hazipaswi kulalamika ni Yanga...mnabebwa hadi inakera.Yanga wajue wanaongoza ligi sababu ya penalti haramu mechi ya Simba na mechi ya KMC.Nyamazeni au pelekeni mlikopeleka kesi ya Morrison

    ReplyDelete
  4. Eymael alisema ni mbumbumbu na kazi ya nikutoa sauti za bwe bwe bwee bweee

    ReplyDelete
  5. chukueni hiyo penalti mnayolilia mtuachie goli la Mugalu.mnatuzidi mechi moja lakini bado tunawazidi bao kuki

    ReplyDelete
  6. wanaongea wakikumbushwa mechi ya Yanga na KMC na ile ya Simba na Yanga .....KIMYAA

    ReplyDelete
  7. Hapa hapa mnafikiri kutaja Utopolo ni ujanja lkn ktk ukweli ni HV Wanaume wanatengeneza jeshi wengine jinsia ya pili wanahitaji vt maalum hapa inahitaji mjadara cse Mwanaume akiamua kupambana jinsia inaanza.Hapa shida ni kwamba wasiojua Utopolo,wamestuka kwamba kumbe mbwa wa Kiswahili anakula makombo kawaida bt akionja alacho Bwana wake anasahau majukumu yake,Sasa mikia tumeazimia mbaki na kazi yenu ya kuvaa madela
    K

    ReplyDelete
  8. Ni happy Team iliyobadilika ki mfumo was kujiendesha ,bt on the pitch ni waswahili

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic