SVEN Vandenbroeck amesemakuwa nyota wawili ambao ni John Bocco nahodha wa timu na kipa namba moja Aishi Manula watakosekana kwenye mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya FC Platinum ya Zimbabwe.
Sven amesema:-"Tunamasaa machache kabla ya mchezo, tumejaribu kila kitu ili wawe tayari kwa mchezo lakini itakuwa ngumu kuwa tayari.
"John [Bocco] bado yupo kitandani hayupo sawa, Aishi aliumia mchezo uliopita na anaweza kuchukua wiki au zaidi ili kuwa sawa. Mpaka sasa kuna uwezekano asilimia 50 ya kuwepo kwenye mchezo."
Ikiwa Manula hatakuwa fiti mpaka kesho mikoba yake anaweza kuchukua Ally Salim ama Beno Kakolanya.
Sasa watu wawili tu ndo mnasumbuka nao?Mbona kikosi ni kipana
ReplyDeleteGame mind labda
ReplyDeleteAlly Salim huo utani mbona.
ReplyDeleteHuyu sio mzungu ni muongo hatari alisema nini siku ya Yanga kuhusu Chama very unprofessional kishingo
ReplyDeleteUtopolo inawahusu nini?Vita ya wanaume. Wavulana kaeni kando. Hayawahusu.
ReplyDeleteKwani mzungu adanganyi? Hivi bado mnaimani kuwa wazungu no Bora zaidi
ReplyDeleteUkiwa unadanganya mara nyingi hata siku ikiwa kweli huaminiki tena, ndio shida hiyo.
ReplyDeleteNa kila game ambayo wanadanganya wanapata tabu sana, kama ile ambayo walishangilia droo..!
ReplyDeleteBado mnamawazo👆 yakiukoloni, fikra zenu hazijafunguliwa tatizo hilo
DeleteKama robo fainali ya FA walivyodanganya kapombe hatakwepo
DeleteNdo mpira, mpira mbinu Kama ninyi mbinu zenu kuhonga wapishi wa club ili mpinzani aharibu bado hafunguka kifikra na mmefirisika kimawazo Ninhi utopolo
Delete