July 20, 2021


IMEELEZWA kuwa nyota wa zamani wa Yanga Heritier Makambo anaweza kuibukia ndani ya Yanga baada ya kuibuka ndani ya Klabu ya Horoya msimu wa 2019.

 Inatajwa kuwa nyota wawili wataachwa katika kikosi cha Yanga ambao ni Michael Sarpong na Fiston Abdulazack kumpisha Makambo ambaye amefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wake ndani ya timu hiyo ya Guinea. 

 

6 COMMENTS:

  1. Jembe linakuja sasa simba mtatutambua

    ReplyDelete
  2. Kucheza na kuchana nyavu haombi Penalties

    ReplyDelete
  3. Yanga wamekuwa wakivutiwa na uwezo wa Makambo wa miaka ile alipokuwa kijana ambao wanatosheka nao lakini kwanini huko alipo hivi sasa hakuwa anapata nafasi yeyote ya kucheza huenda Mzee Mpili kaahidi kuweka sawa kila kitu

    ReplyDelete
  4. Usistaajabu ukisikia Mfaransa Paul Pogba anatuwa yanga pamoja na Makambo

    ReplyDelete
  5. Kwani sialikuwa yanga before kipi alifanya hata ubingwa hakuwapa aje atakutana na mtu nusu mtu chuma babu ubaya ONYANGO

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic